Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akishiriki dua na Wanafamilia ya Marehemu Bi. Khadija Abbas, iliyoombwa leo alipofika nyumbani kwa Marehemu huyo Rahaleo Mjini Zanzibar kwa ajili ya kutoa mkono wa pole kwa Wanafamilia hao. Wakati wa uhai wake Bi Khadija alishiriki kuchanganya udongo wakati wa kuasisiwa rasmi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar;
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wanafamilia ya Marehemu Bi.Khadija Abbas (aliyechanya udongo katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar) leo alipofika kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Marehemu huyo Rahaleo Mjini Zanzibar .(Picha na Ikulu) 01/09/2023 .
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇