Benki ya NMB imedhamini Bunge Bonanza kwa thamani ya sh. mil. 130, litakalofanyika kesho Septemba 2, 2023, kwenye viwanja vya Shule ya John Merlin, Miyuji jijini Dodoma.
Akizungumza na vyombo vya habari Mwenyekiti wa Bunge
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
Bonanza, Festo Sanga amesema kuwa Mgeni rasmi katika bonanza hilo litakaloshindanisha wabunge na watumishi wa bunge katika michezo mbalimbali, atakuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇