Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi akiwasilisha mezani bungeni Septemba 4,2023, taarifa ya Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo kuhusu changamoto na malalamiko yaliyojitokeza katika kutekeleza mkataba wa mauziano ya matrekta ya URSUS kati ya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na wakulima kwa utaratibu wa mikopo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇