Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameitaka serikali kutoa kauli ya kuongeza bajeti ya ujenzi wa barabara kwa majimbo ya mjini ikiwemo Njombe Mjini ambayo pia yana maeneo ya vijijini.
Ameyasema hayo bungeni Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu Septemba 4,2023.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇