LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 23, 2023

RAIS DK. MWINYI AFUNGA MKUTAO WA WADAU KUJADILI HALI DEMOKRASIA NCHINI KUELEKEA UCHAGUZI 2024/2025, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati  akifunga Mkutano wa Kitaifa wa  kujadili hali ya Demokrasia nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2024 na 2025, uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam, leo. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mwenyekiti wa TCD Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto) wakizindua mradi wa 'Kuimarisha mazungumzo ya vyama  vingi vya Siasa na kukuza ushiriki wa Wanawake na Vijana katika michakato ya kisiasa na uchaguzi' wakati  wa Ufungaji wa Mkutano wa Kitaifa wa  kujadili hali ya Demokrasia nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2024 na 2025, uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam, leo.     Waalikwa wakiwa kwenye mkutano huo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia (TCD) Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto) baada ya  wa kufunga Mkutano wa Kitaifa wa kujadili hali ya Demokrasia nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2024 na 2025, uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages