LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 26, 2023

BAJETI KUU YAPITA KWA KISHINDO, RAIS SAMIA APEWE 'MAUA YAKE'+video


 Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Mchemba akielezea maendeleo makubwa yaliyopatikana wakati wa Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa kuhitimisha mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali na kusema Rais anapaswa kupewa 'maua yake'. kwa mafanikio hayo.

Asilimia 95 ya wabunge wamepitisha bajeti hiyo kwa kupiga kura ya ndiyo.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video... Mchemba akielezea mafanikio hayo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages