LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 20, 2023

RAIS SAMIA AWAPA TUZO HAYATI MWALIMU NYERERE NA DK. MAGUFULI WAKATI WA UZINDUZI RASMI JENGO LA IKULU, CHAMWINO JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyeyeye, kwa Mama Maria Nyerere, wakati wa Sherehe za ufunguzi wa Jengo la Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Mei, 2023. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya Hayati Rais wa Awamu ya tano Dkt. John Magufuli kwa Mama Janeth Magufuli wakati wa Sherehe za ufunguzi wa Jengo la Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Mei, 2023.

Rais Samia akizungumza jambo na Mama Maria Nyerere Mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Hayati Julius Nyerere baada ya kumkabidhi tuzo kwa niaba.

 
Rais Samia akikumbatiana kwa furaha na Mama Janeth Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli baada ya kumkabidhi tuzo kwa niaba.
 
PICHA ZAIDI ZA TUKIO HILO👇

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages