Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi ameiomba serikali kuwahudumia wagonjwa masikini wenye uhitaji wa viungo bandia. Aidha ameomba Hosptali ya Kanda ya KCMC iongezewe madaktari na wahudumu wa sekta ya afya kwani hivi sasa kuna upungufu mkubwa wahudumu hao. Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma Mei 15, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Prof. Ndakidemi akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇