Mbunge wa Mbeya Vijijini, Oran Njeza amehoji bungeni Dodoma mEI 15, 2023, ni lini serikali itaanza kujenga barabara ya mchepuko ya Mlima Nyoka hadi Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Songwe?
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Njeza akiipambania barabara hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇