Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewasilisha kiufasaha tena kwa muda mfupi makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2023/2024 bungeni Dodoma Mei 19, 2023, kiasi cha kusifiwa na Naibu Spika, Musa Zungu.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nap Nnauye akiwasilisha taarifa hiyo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
Your Ad Spot
May 19, 2023
NAPE AWASILISHA BAJETI YENYE MAONO MAKUBWA+video
Tags
featured#
Habari#
Share This
About Author CCM Blog
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇