Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Fatma Toufiq akiwasilisha bungeni Dodoma Aprili 5, 2023 kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) kwa mwaka wa Fedha 2023/2024.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Toufiq akiwasilisha taarifa hiyo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇