LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 14, 2023

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA NAIBU SPIKA UKRAINE


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Naibu Spika wa Bunge la Ukraine Mhe. Oleksandr Korniyenko, wakati wa mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Exhibition World Bahrain Nchini Bahrain leo Machi 14, 2023.

PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages