Mabadiliko ya njia za daladala Dodoma yamesababisha mkanganyiko hasa baada ya kituo maarufu cha soko la Sabasaba kufungwa na kuelekeza daladala kuanzia sasa kubeba na kushusha abiria itakuwa Soko jipya la Machinga Complex. Mabadiliko hayo yamelalamikiwa na baadhi ya wananchi na wafanyabiashara kama wanavyojieleza walipohojiwa na mwandishi wetu eneo la Sabsaba Machi Mosi, 2023... Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rose Senyamule ametoa neno kuhusu mabadiliko hayo alipokuwa akihutubia wakati wa uzinduzi wa kituo cha daladala katika soko la Machinga Complex.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, baadhi ya wananchi wakielezea kuhusu mkanganyiko huo huku Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Senyamule akitoa neno....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇