Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipanda mti katika eneo la Mradi wa Programu ya Kilimo cha Mashamba Makubwa ya pamoja (Block Farming) Chinangali Mkoani Dodoma, leo tarehe 20 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuzindua Programu ya Kilimo cha Mashamba Makubwa ya pamoja (Block Farming) Chinangali Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Funguo Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya umwagiliaji Raymond Mndolwa kwa ajili ya Programu ya Kilimo cha Mashamba Makubwa ya pamoja (Block Farming) Chinangali Mkoani Dodoma tarehe 20 Machi, 2023. (Picha na Ikulu)
Your Ad Spot
Mar 20, 2023
Home
featured
Kilimo
RAIS SAMIA AZINDUA PROGRAMU YA KILIMO CHA MASHAMBA MAKUBWA YA PAMOJA, CHININGALI, DODOMA, LEO
RAIS SAMIA AZINDUA PROGRAMU YA KILIMO CHA MASHAMBA MAKUBWA YA PAMOJA, CHININGALI, DODOMA, LEO
Tags
featured#
Kilimo#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kilimo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇