LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 2, 2023

RAIS DK. HUSSEIN ALI MWINYI AKUTANA NA BALOZI WA UFILIPINO, IKULU MJINI ZANZIBAR, LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Ufilipino Nchini Tanzania Mhe.Marie  Charlotte G.Tang,alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimakabidhi zawadi  mgeni wake Balozi wa Ufilipino Nchini Tanzania Mhe.Marie  Charlotte G.Tang,baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha leo. (Picha na Ikulu).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo  na Balozi wa Ufilipino Nchini Tanzania Mhe.Marie  Charlotte G.Tang,wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha.

        

           

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages