LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 9, 2023

WAZIRI NAPE:WANAHABARI MSIPANIKI, MUSWADA WA HUDUMA ZA HABARI KUSOMWA BUNGENI KESHO+video

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewasihi wanahabari kuacha kupaniki, muswada wa marekebisho ya sheria ya huduma za habari kusomwa kwa mara ya kwanza bungeni kesho.

Ametoa kauli hiyo kutokana na Jukwaa la Wahari Tanzania (TEF) kusababisha taharuki kwa kutoa tamko bila uthibitisho kutoka kwa wahusika serikali kuhusu kuahirishwa kwa upelekaji wa muswada huo kulikotangazwa jana Februari 8, 2023 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa na kutoa sababu zilizosababisha kuhahirishwa huko.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akisema maneno ya utanguzi kabla ya kumkaribisha Waziri Nape kuzungumza.


Wanahabari wakiwajibika wakati wa mkutano huo.



PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nape akisikitishwa na kauli hiyo ya TEF....


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages