Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA), Mhandisi Benedct Ndomba akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma Februari 23, 2023, kuhusu utekelezaji wa majukumu ya mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumza maneno ya utangulizi wakati wa kumkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa eGA, Mhandisi Ndomba.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Zamaradi Kawawa akiongoza mkuta huo.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mhandisi Ndomba akielezea mafanikio hayo...IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇