Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Ringo akisikitishwa Dodoma kuzingirwa na giza....
Mjumbe wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma, Ringo Iringo ameonesha dhahiri kukerwa na ubovu wa barabara na giza wakati wa usiku katika Jiji la Dodoma ambalo ndiyo makao makuu ya nchi.
Kero hiyo ameisema wakati wa uzinduzi wa baraza hilo uliofanywa na Mkuu wa Mkoa huo, Rosemary Senyamule Februari 24,2023 jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇