LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 26, 2023

CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI IDARA YA MAMBO YA NJE WA CHAMA CHA CPC CHA CHINA, LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Naibu Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje ya Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Komredi Li Mingxiang (kushoto) leo tarehe 26 Februari 2023, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo na ujumbe wake wakiwa na Naibu Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje ya Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Komredi Li Mingxiang baada ya mazungumzo yao  leo tarehe 26 Februari 2023, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages