Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza kwenye Mkutano wa 36 Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika katika Ukumbi wa Nelson Mandela uliopo Makao Makuu ya Umoja huo Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2023.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu akizungumza na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh
Mohamud katika Ukumbi wa Nelson Mandela uliopo Makao Makuu ya Umoja wa
Afrika (AU) Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 36 Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika katika Ukumbi wa Nelson Mandela uliopo Makao Makuu ya Umoja huo Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2023
Your Ad Spot
Feb 19, 2023
RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA 36 WA AU NCHINI ETHIOPIA
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇