Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Ndugu Miraji Mtaturu (kushoto) na Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Ndugu Elibariki Kingu (kulia), baada ya kutembelea shamba la mwekezaji la uzalishaji wa mbegu za alizeti la ALFARDAWS lililopo Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, leo.
Your Ad Spot
Feb 28, 2023
CHONGOLO AKUTANA NA MTATURU NA KINGU, IKUNGI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇