LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 16, 2023

KISHINDO KINGINE KIKUBWA KINAKUJA MIRADI SEKTA YA ELIMU


Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Gerson Msigwa amesema kuwa kishindo kingine kikubwa cha uboreshaji sekta ya elimu nchini kinakuja. Amebainisha kuwa serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetenga zaidi ya sh. trilioni moja kuboresha na kujenga miradi mingine katika sekta hiyo nchini. Amebainisha hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Januari 15, 2023 kuhusu mafanikio ya miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Baadhi ya wanahabari wakiwa kazini

 PICHA NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Gerson Msigwa akielezea kuhusu mradi huo mkubwa  unaokuja katika sekta ya elimu....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages