LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 24, 2022

SIMBA SC YAMSAJILI NTIBANZOKIZA KUTOKA GEITA GOLD

 


KLABU ya Simba imetangaza kumsajili kiungo mkongwe Mrundi, Said Ntibanzokiza kutoka Geita Gold, akiwa mchezaji wake wa kwanza kabisa mpya dirisha hili dogo.

Ntibanzokiza amecheza Geita Gold kwa nusu msimu baada ya kuondoka kwa mahasimu wa Simba, Yanga SC ambako alidumu kwa misimu miwili.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages