LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 17, 2022

MSD: KUTUMIA DRONE KUSAMBAZA DAWA SI KIPAUMBELE CHETU+video


 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Mavere Tukai amesema kuwa mpango wa kusambaza dawa kwa kutumia ndege isiyo na rubani aina ya Drone si kipaumbele chao kikubwa, bali kipaumbele ni kuhakikisha dawa zinapatikana kwa wingi nchini.

Tukai amebainisha hilo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari -MAELEZO jijini Dodoma Oktoba 17, 2022, kuhusu utekelezaji wa majukumu ya bohari hiyo.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Gerson Msigwa akihitimisha mkutano huo kwa kutoa pongezi kwa Mkurugenzi Mkuu wa MSD kwa kueleza na kufafanua vizuri majukumu ya bohari hiyo.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Tukai pamoja na mambo mengine akielezea kuhusu mpango huo wa Drone kupata kifafa....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages