LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 26, 2022

MSAJILI WA HAZINA YAINGIZA SH. BIL. 800 KUTOKA MASHIRIKA, TAASISI+video

 

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Umma katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Lightness Mauki ametangaza  ametangaza kuwa mwaka huu imevuka lengo kwa kukusanya mapato ya gawio, michango  zaidi ya sh. bilioni 800 kupitia mashirika,taasisi na wakala inazozisimamia.

Amebainisha hilo katika mkutano na vyombo vya habari  uliofanyika kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma Oktoba 26, 2022 alipokuwa akielezea utekelezaji wa majukumu yao na mwelekeo wa utekelezaji katika kipindi cha  mwaka 2022/23.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitoa neno la shukrani alipokuwa akihitimisha mkutano huo

Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa kazini wakati wa mkutano huo.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mauki akielezea kuhusu mafanikio hayo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages