LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 20, 2022

JUMUIYA YA MARIDHIANO YAMTUNUKU RAIS SAMIA TUZO YA HESHIMA+video

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akiangalia tuzo maalumu aliyotunukiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Jumuiya ya Maridhiano Tanzania kwa kazi nzuri anazolifanyia Taifa la Tganzania. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo,Askofu Dkt. Israel Maasa  wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano kwnye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akikabidhiwa tuzo kwa utendaji wake mzuri tangua aingie Dodoma ikiwemo uhamasishaji wa sensa.
Viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma wakikabidhiwa tuzo kwa kutambua mchango wao kwa jumuiya hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa , Godwin Mkanwa na Katibu wa CCM Mkoa huo, Pili Agustine;
RC Senyamule akimkabidhi tuzo Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri kwa utendaji wake mzuri.
Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remedius Mwema  akipatiwa tuzo.

RC Senyamule akiwa na Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Askofu Maasa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo wa Mkoa wa Dodoma, Askofu Dkt Evance Chande

Baadhi ya viongozi wa dini


Chifu wa wagogo akiwa katika maadhimisho hayo



 
RC Senyamule akiondoka baada ya kuhudhuria maadhimisho hayo'


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ujue yaliyojili katika maadhimisho hayo'...
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages