LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 4, 2022

MWAKINYO ACHEZEA TKO

 


Bondia Hassan Mwakinyo amepoteza pambano dhidi ya Liam Smith baada ya kupigwa kwa TKO

Pambano hilo lilikuwa na mizunguko 12 liliishia mzunguko wa 4 baada ya Mwakinyo kupiga goti wakati pambano likiendelea

Pambano hilo limefanyika katika ukumbi wa M & S Arena mjini Liverpool nchini Uingereza

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages