LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 29, 2022

RIDHIWANI AWAZAWADIA WASHINDI MICHUANO YA SENSA KATA YA UBENA

 

 Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete amekabidhi zawadi kwa washindi wa mashindano ya Sensa Kata ya Ubena. 

Ridhiwani amewashukuru sana wachezaji, wananchi,na wote waliosaidia kufanikisha mashindano na kwa kipekee ofisi ya Dc Bagamoyo, Zainab Abdallah na Mkurugenzi ChalinzeCouncil . #SensaKwaMaendeleo #JiandaeKuhesabiwa






No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages