RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakichuma karafuu leo wakati walipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika maonesho ya wakulima nanenane viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “A” Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja (katikati) Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe.Shamata Shaame Khamis
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakipata maelezo yaliyotolewa na Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Uratibu wa Uchumi wa Buluu Capt.Hamad Bakari Hamad (wa tatu kulia)wakati walipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika maonesho ya wakulima nanenane viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “A” Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo,wengine ,Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe.Shamata Shaame Khamis(kushoto) na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akiuliza suala kwa Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Uratibu wa Uchumi wa Buluu Capt.Hamad Bakari Hamad (kulia) wakati alipotembelea kazi mbali mbali katika maonesho ya wakulima nanenane viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “A” Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyoyafungua leo ,(katikati) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi (wa pili kulia) Mkuu wa KmKm Komodoo Azana Hassan Msingiri (Picha zote/Maelezo na Ikulu, Zanzibar).
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇