Ng'ombe mwenye uzito zaidi ya kilo 700 kutoka Mpwapwa, ambaye kutokana na kilo zake kuwa nyingi amepewa jina la Mheshimiwa Kikwete (pichani amekuwa kivutio kikubwa kwenye paredi ya mifugo iliyoshuhudiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamula wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma Agosti 5, 2022.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Senyamule akipongezana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt Mashimba Ndaki wakati wa paredi hiyo ya mifugo.
Pia utamsikia kwenye clip ya video mfugaji wa ng'ombe huyo George Magawa akielezea jinsi anavyomfuga kiustadi kiasi cha ng'ombe huto kuwa na kilo hizo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇