Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Wananchi, Walimu na Wanafunzi katika sherehe ya uzinduzi wa madarasa mapya matano ya Skuli ya Msingi Unguja Ukuu yaliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ufadhili wa Mkopo nafuu wa Uviko 19 kupitia Shirika la Fedha Duniani (IMF), akiwa katika ziara ya Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, leo
Wanachama wa CCM, Walimu na Wanafunzi wakimskiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi alipozungumza nao leo katika sherehe ya uzinduzi wa madarasa mapya matano ya Skuli ya Msingi Unguja Ukuu yaliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ufadhili wa Mkopo nafuu wa Uviko 19 kupitia Shirika la Fedha Duniani (IMF), akiwa katika ziara ya Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,leo. (Picha na Ikulu, Zanzibar)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇