👆Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akikagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya
Mashujaa yatakayo fanyika Kitaifa Mkoani Dodoma Julai 25, 2022, kwenye
viwanja vya Mashujaa jijini Dodoma. Julai 23, 2022. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)👇
Your Ad Spot
Jul 23, 2022
WAZIRI MKUU AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA JIJINI DODOMA, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇