Kwa Mujibu wa Tangazo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Waombaji wa ajira ya muda walioshiriki usaili uliofanyika Julai 20, 2022 na Julai 21, 2022 na kufaulu katika usaili huo wanatakiwa kuhudhuria mafunzo yatakayofanyika katika Vituo mbalimbali ambavyo vimeainishwa katika majina kwenye kila Kata kuanzia kesho Julai 29, 2022, saa 2.00 asubuhi. Kuona Orodha ya majina ya makarani waliofaulu usaili na vituo vya mafunzo walivyopangiwa, Bofya 👉HAPA
Your Ad Spot
Jul 28, 2022
Home
featured
Habari
WALIOFAULU USAILI WA AJIRA YA MUDA YA MAKARANI WA SENSA WILAYA YA KINONDONI HAWA HAPA
WALIOFAULU USAILI WA AJIRA YA MUDA YA MAKARANI WA SENSA WILAYA YA KINONDONI HAWA HAPA
Tags
featured#
Habari#
Share This
About Bashir Nkoromo
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇