Mbunge wa Chalinze, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete amekagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya na kukabidhi Gari la Kubebea Wagonjwa lililotolewa na Serikali ya JMT. Gari hili ni mojawapo kati ya magari Manne yanayotarajiwa kufika katika Halmashauri hiyo. Serikali ya JMT imekwishatoa Shilingi Bilioni 2.1 kwa hospitali hiyo hadi sasa kujenga miundombinu na vifaa tiba.#KaziInaendelea #SSH
Your Ad Spot
Jul 31, 2022
RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI GARI LA KUBEBEA WAGONJWA CHALINZE
Tags
featured#
KIJAMII#
Share This
About Author CCM Blog
KIJAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇