Kwanza Tumefurahishwa na ujio wa Mhe. Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa kututembelea Azania Bank ambayo inamilikiwa na mifuko ya Kijamii
Hayo yamesemwa na Meneja Biashara Azania Bank, Majaba Magana waka akizungumza jambo mara baada ya kutembelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi na kuongozana na Viongozi mbalimbali akiwepo Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biasha. Dkt. Ashatu Kijaji na wamwisho kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Jokate Mwegel.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇