LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 4, 2022

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AREJEA NCHINI KUTOKA LISBON NCHINI URENO, LEO

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango akiwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, akitokea nchini Ureno alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Umoja wa Mataifa kuhusu Uhifadhi wa Bahari na Rasilimali zake uliofanyika mjini Lisbon nchini humo.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages