Rais Samia Suluhu Hassana kimpongeza Mwanawake aliyejifungua katika Jengo jipya la Huduma ya Afya ya Mama na Mtoto lililopo kwenye Hospitali ya CCBRT Jijini Dar es Salaam, alipofungua rasmi jengo hilo leo Julai 5, 2022. Pamoja na kumpongeza Mwanamke huyo pia alimpa zawadi pamoja na wanawake wengine aliokuta wamejifungua watoto.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akifungua rasmi Jengo la Huduma ya Afya ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya CCBRT Jijini Dar es Salaam, leo Julai 5, 2022.Rais Samia Suluhu Hassan akifunua bango maalum, kufungua rasmi Jengo la Huduma ya Afya ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya CCBRT Jijini Dar es Salaam, leo Julai 5, 2022. Kulia ni Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson
Your Ad Spot
Jul 5, 2022
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA AFUNGUA JENGO LA HUDUMA YA AFYA YA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA CCBRT DAR ES SALAAM, LEO
RAIS SAMIA AFUNGUA JENGO LA HUDUMA YA AFYA YA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA CCBRT DAR ES SALAAM, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇