Katibu
Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi akiongea na
wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki kwenye Michezo ya Jumuiya ya
Madola wakati yeye na Rais wa TOC Gullam Abdullah Rashid (wa pili kulia)
walipowatembelea katika kijiji cha wanamichezo kilicho katika Chuo
Kikuu cha Birmingham, Uingereza, ambako mashindano hayo yanafunguliwa
rasmi siku ya Alhamisi Julai 28, 2022. Wengine pichani ni Makamu wa Rais
wa TOC Henry Tandau na Meneja wa timu Suleiman Jabir Mahmoud.
Rais
Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Bw. Gullam Abdullah Rashid (walioketi
wa pili kulia) na Katibu Mkuu wake Bw. Filbert Bayi wakiongea na
wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki kwenye Michezo ya Jumuiya ya
Madola na viongozi wao walipowatembelea kuwajulia hali na kuwatia moyo
kambini kwao katika kijiji cha wanamichezo kilicho katika Chuo Kikuu cha
Birmingham, Uingereza, ambako mashindano hayo yatayofunguliwa rasmi
siku ya Alhamisi Julai 28, 2022 yanaandaliwa. Wengine walioketi nao ni
Makamu wa Rais wa TOC Bw. Henry Tandau (wa pili kushoto) na Meneja wa
timu Suleiman Jabir Mahmoud (kushoto).
Rais
Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Bw. Gullam Abdullah Rashid (walioketi
wa pili kulia) na Katibu Mkuu wake Bw. Filbert Bayi wakipata picha ya
kumbukumbu na wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki kwenye Michezo ya
Jumuiya ya Madola walipowatembelea kuwajulia hali na kuwatia moyo
kambini kwao katika kijiji cha wanamichezo kilicho katika Chuo Kikuu cha
Birmingham, Uingereza, ambako mashindano hayo yatayofunguliwa rasmi
siku ya Alhamisi Julai 28, 2022 yanaandaliwa. Wengine walioketi nao ni
Makamu wa Rais wa TOC Bw. Henry Tandau (wa pili kushoto) na Meneja wa
timu Suleiman Jabir Mahmoud (kushoto).
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇