Na CCM Blog
Makamu Mwenyekiti wa Chama ha Mapinduzi (CCM) Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana kesho Jumatatu, Julai 25, 2022, anaanza ziara ya kikazi katika mikoa minne ya Nyanda za Juu Kusini; Mbeya, Songwe, Rukwa na Katavi.
Kwa mujibu wa ratiba, Kinana ataanzia ziara hiyo katika mkoa wa Katavi (Julai 25, 2022) na kufuatia mikoa ya Rukwa (Julai 26, 2022), Songwe (Julai 27, 2022) na kumaliia mkoa wa Mbeya.
Your Ad Spot
Jul 24, 2022
KINANA KUANZA ZIARA MIKOA MINNE YA NYANDA ZA JUU KUSINI KESHO
Tags
featured#
siasa#
Share This
About Bashir Nkoromo
siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇