Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya Jacob Mwakasole pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali na chama na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati alipowasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Songwe leo tarehe 30 Julai 2022 kwaajili ya ufunguzi wa maonesho ya Nane Nane yanayofanyika mkoani Mbeya kuanzia tarehe 1 Agosti 2022.
Your Ad Spot
Jul 30, 2022
DK. MPANGO AWASILI MBEYA, LEO, KUFUNGUA NANE NANE AGOSTI MOSI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇