Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo akitoa wito kwa ngazi zote za CCM kutoka shina, tawi, kata, wilaya, mkoa na makao makuu kuwekeza kwenye uchumi ili zijiendeshe badala ya kutegemea hisani.
Ametoa wito huo alipokuwa akifungua mafunzo ya itikadi, elimu ya sensa na ulinzi na usalama kwa viongozi wa CCM wa matawi na mashina waliochanguliwa hivi karibuni Mkoa wa Dodoma kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Julai 13,2022.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa akzinungumza maneno ya utangulizi kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.
Baadhi ya viongozi wa CCM wakiwa katika mafunzo hayo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Chongolo akitoa agizo hilo...IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇