LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 7, 2022

BANDA LA TAASISI MOYO JAKAYA KIKWETE LAWA KIVUTIO MAONESHO YA 46 YA KIMATAIFA SABABABA JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimuhudumia Mwananchi aliyefika Bandani hapo nakufanya vipimo mbalimbali vikiwemo kipimo cha Maralia, Plesha, Sukari, Wingi wa Damu, H.I.V bila malipo mara alipotembelea Banda la Taasisi hiyo lililopo viwanja vya Sabasaba Maonesho ya 46 ya Kimataifa Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam leo  Julai 7, 2022

Wananchi wakiminika Banda la Taasisi hiyo lililopo viwanja vya Sabasaba Maonesho ya 46 ya Kimataifa Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam leo  Julai 7, 2022



Baadhi ya Wafanyakazi wakiwa katika Picha ya pamoja. 
Mama Mrema (wa pili kushoto) akiwa katika Picha ya pamoja  na Familia yake mara baada ya kupata huduma Banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), lililopo viwanja vya Sabasaba Maonesho ya 46 ya Kimataifa Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam leo  Julai 7, 2022



Baadhi ya Wananchi wakisaini Kita cha Wageni mara baada ya kupata huduma Banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), lililopo viwanja vya Sabasaba Maonesho ya 46 ya Kimataifa Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam leo  Julai 7, 2022

Afisa Muuguzi Msaidizi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zenais Ngowi (kulia), akitoa Elimu kwa Watoto walio fika Banda hilo la Moyo hasa kwa Exm Mtolilo kushoto.  Mwanafunzi wa Kongowe Islamic Darasa la Sita Umri 11 ambaye alifika na kujione Moyo unafyo fanya kazi na hasa shauku yake na kuwa Dkt. wa Moyo ambapo alisema, Leo nimefka Sabasaba nikiwa na lengo la kufika Banda la Jakaya Kikwete na nilicho jifunza kwamba Moyo ni kiungo kikubwa katika mwili na kinafaya kazi kubwa katika mwili wa Binadam kwakumpa afya na kwa maendeleo mengine kama Damu na kinga, kwa maana hivyo nilijifunza mgonjwa akipata mshituko wa moyo unawezaje kumsaidia.

Timu ya Wataam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ka 
Mwananchi akipatiwa huduma

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages