Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya MOI Dkt. Respicious Boniface akiongea na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli za Taasisi hiyo na vipaumbele kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Julai 28, 2022 kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma.Boniface ameelezea kwamba asilimia 70 ya majeruhi wanaotibiwa katika taasisi hiyo ni wanaotokana na ajali za Bodaboda, Bajaji. lakini pia ajali za magari.
Sehemu ya wanahabari wakiwa katika mkutano huo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mkurugenzi Mtendaji, Dkt. Boniface akielezea ajali hizo zinavyoongoza nchini....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇