LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 7, 2022

SPIKA TULIA ALONGA NA VIJANA WA ROYAL TOUR BUNGENI DODOMA+video

 

Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson amefanya mazungumzo na vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM waliotoka kutalii Hifadhi ya Ngorongoro ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kuutangaza utalii kupitia filamu ya Royal Tour.


Amezungumza nao kwenye Ukumbi wa Msekwa bungeni Dodoma Juni 6, 2022.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA







IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages