LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 23, 2022

MAJALIWA ASHUHUDIA AWAMU YA PILI YA WANANCHI WA NGORONGORO KUHAMIA MSOMERA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya wananchi waliokuwa wakiishi katika Hifadhi ya Ngorongoro ambao wamekubali kwa hiari yao kuhamia katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni wakati aliposhuhudia awamu ya pili kuhama kwao katika Ofisi Kuu ya Hifadhi ya Ngorongoro Mkoani Arusha, Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages