Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimvisha medali kapteni wa timu ya K.C.C.A ya Uganda John Revita baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya timu ya Aigle Noir FC ya Burundi na kuchukua kombe la Nkurunziza Cup, mechi hii imechezwa kwenye uwanja mpya na wa kisasa wa Nkurunziza Peace Park Complex.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD cha Burundi Ndugu Reverien Ndukiriyo wakati wa sherehe za ufunguzi wa uwanja wa kisasa wa michezo wa Nkurunziza Peace Park Complex uliopo mkoani Makamba, Burundi.
Vijana wa Chipukizi wa Chama cha CNDD-FDD wakionyesha burudani wakati wa ufunguzi wa uwanja mpya wa kisasa wa michezo wa Nkurunziza Peace Park Complex uliopo katika mkoa wa Makamba nchini Burundi.


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇