LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 15, 2022

FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO KUGAWIWA MUSOMA VIJIJINI JUMATATU



LENGO KUU

Fedha za Mfuko wa Jimbo zitatumika kuchangia ujenzi na uboreshaji wa baadhi ya miundombinu kwenye Sekondari za Kata. Miundombinu itakayochangiwa ni:


*Ukamilishaji wa Maabara

*Ukamilishaji wa Maktaba

*Ujenzi wa Mabweni


SEKONDARI ZILIZOTUMA MAOMBI


A - Sekondari zilizotuma maombi ndani ya muda uliowekwa


1. Kigera    2. Kiriba

3. Mkirira   4. Seka

5. Nyakatende

6. Makojo

7. Nyasaungu (mpya, inajengwa)


B - Sekondari zilizochelewa kutuma maombi:


8. Murangi      9. Tegeruka

10. Mugango  11. Bulinga


UTARATIBU UNAOTUMIKA


1. Makisio ya Vifaa vya ujenzi vitakavyonunuliwa kutokana na Fedha za Mfuko wa Jimbo zilizotolewa. Tunazo Tshs 52.4m


2. Kikao cha Kamati ya Mfuko wa Jimbo kujadili na kugawa vifaa vya ujenzi. Mwenyekiti wa Kikao ni Mbunge wa Jimbo


3. Halmashauri yetu ndiyo inanunua vifaa vya ujenzi kwa kutumia Fedha za Mfuko wa Jimbo


4. Wapokeaji wa vifaa vya ujenzi wanagharamia usafirishaji wa vifaa walivyogawiwa


KIKAO CHA KUGAWA VIFAA VYA UJENZI


Mahali

*Kijijini Nyang'oma, Mugango

*Ofisi za Halmashauri yetu


Siku na Muda

Jumatatu, 16.5.2022

Saa 4 Asubuhi


WATAKAOHUDHURIA

*Wajumbe wa Kamati ya Mfuko wa Jimbo

*Waliotuma maombi

*Wananchi wanakaribishwa, hiki ni kikao cha wazi


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

www.musomavijijini.or.tz



No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages