Baadhi ya waguzi na wakunga wakiwa katika mahafali hao.
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Aifello Sichwale akiwakabidhi vyeti na zawadi ya fedha baadhi ya wahitimu waliofanya vizuri katika mitihani yao.
Wajumbe wa Sekretarieti ya Baraza la Wauguzi na Wakunga wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi.
Baadhi ya wahitimu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi walio meza kuu pamoja na mgeni rasmi, Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Sichwale.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Sichwale na Msajiri wa Baraza, Bi. Mtawa wakiwaasa wahitimu hao kuwahudumia wagonjwa kwa huruma na kufuata maadili, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya kazi yao.....
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇