Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko Ulimwenguni (Tony Blair Institute for Global Change), Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu akiendelea kuzungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko Ulimwenguni (Tony Blair Institute for Global Change), Ikulu Chamwino Mkoani DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu
Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko
Ulimwenguni (Tony Blair Institute for Global Change), Ikulu Chamwino
Mkoani Dodoma.(Picha na Ikulu).
Mar 28, 2022
Home
featured
Kitaifa
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU WA UINGEREZA TONY BLAIR IKULU, JIJINI DODOMA, LEO
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU WA UINGEREZA TONY BLAIR IKULU, JIJINI DODOMA, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About Bashir Nkoromo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇