LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 8, 2022

MBIO ZA KUTANGAZA UTALII SAME ZAFANA



 Kamishna Mhifadhi Mkuu  Tanapa, William Mwakilema  wa pili kulia akikimbia  mbio za kilometa tano baada ya kuzindua mbio hizi rasmi kwenye mashindano ya riadha. lengo kubwa ni kutangaza vivutio vya utalii wa ndani katika Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro. (kushoto) ni Mkuu wa wilaya ya korogwe Basila mwanukuzi  anaye mfuata ni Mkuu wa wilaya ya Same Edward Mpogoro sherehe hizo zimefanyika katika mbuga ya Mkomazi na kujionea vivutio mbali mbali vya utalii katika wilaya ya Same 

 Mkuu wa wilaya ya Same Edward Mpogoro akiwashukuru wadau mbali mbali waliochangia na kutitokeza kwa  kuamasisha mbio hizo na kutangaza vivutio vya utalii katika wilaya yake. na kuwataka wananchi wote kwa ujumla kumuunga mkono Rais  Samia kushirikiana naye kwa pamoja lengo ni kuijenga nchi yetu na kutangaza utalii wetu wa nchi (Picha na Ashrack Miraji)
Wadau mbali mbali wakijitokeza kumuunga mkono mkuu wa wilaya ya Same katika mbio za kilometea 5 had 10 lengo ni kutangaza utalii wa wilaya ya same kama mbuga ya wanyama mkomazi na milima ya shengena yenye vivutio mbalimbali  vinapatikana katika wilaya hiyo

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages